Yeremia 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+ Yona 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wale wanaozifuata sanamu zisizo za kweli, wanaziacha fadhili zao wenyewe zenye upendo.+
14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+