Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nanyi msigeuke kando ili kufuata vitu visivyo vya kweli+ ambavyo havina faida+ yoyote na ambavyo havikomboi, kwa sababu hivyo ni vitu visivyo vya kweli.

  • Yeremia 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ee Yehova nguvu zangu na ngome yangu, na kimbilio langu katika siku ya taabu,+ kwako wewe mataifa yote yatakuja kutoka miisho ya dunia,+ nao watasema: “Kwa kweli mababu zetu walikuja kumiliki uwongo mtupu,+ ubatili na vitu ambavyo ndani yake havina faida yoyote.”+

  • Habakuki 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sanamu ya kuchongwa imekuwa na faida gani,+ wakati yeye aliyeifanya ameichonga, sanamu ya kuyeyushwa, na mfundishaji wa uwongo?+ wakati yeye aliyefanya umbo lake ameitegemea,+ kufikia hatua ya kufanya miungu isiyo na thamani ambayo haiwezi kusema?+

  • 1 Wakorintho 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mnajua kwamba mlipokuwa watu wa mataifa,+ mlikuwa mkiongozwa kwenye zile sanamu+ zisizo na sauti+ kama vile mlivyoongozwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki