Zaburi 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wokovu ni wa Yehova.+Baraka yako iko juu ya watu wako.+ Sela. Zaburi 37:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nao wokovu wa watu waadilifu ni kutoka kwa Yehova;+Yeye ni ngome yao wakati wa taabu.+ Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+ Yohana 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tunachokijua,+ kwa sababu wokovu hutokana na Wayahudi.+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+
22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tunachokijua,+ kwa sababu wokovu hutokana na Wayahudi.+