2 Na wakati huo majeshi ya mfalme wa Babiloni yalikuwa yanazingira Yerusalemu;+ naye Yeremia nabii alikuwa chini ya kizuizi katika Ua wa Walinzi+ ulio katika nyumba ya mfalme wa Yuda;
15 Na wakuu+ wakaanza kumkasirikia Yeremia,+ nao wakampiga+ na kumtia katika nyumba ya pingu,+ katika nyumba ya Yehonathani+ mwandishi, kwa maana walikuwa wameifanya hiyo kuwa kizuizi.+