Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo.

  • Yeremia 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Pashuri akampiga Yeremia nabii+ na kumweka katika mikatale+ iliyokuwa katika Lango la Juu la Benyamini, lililokuwa katika nyumba ya Yehova.

  • Matendo 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 nao wakawashika mitume na kuwaweka katika kizuizi cha watu wote.+

  • Matendo 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa Herode alipokuwa karibu kumtoa, usiku huo Petro alikuwa amelala akiwa amefungwa kwa minyororo miwili katikati ya askari-jeshi wawili, na walinzi mbele ya mlango walikuwa wakililinda gereza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki