Zaburi 41:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 91:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+
41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+
14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+