1 Wafalme 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao wakaanza kumpiga na kumuua kila mmoja mtu wake; na Wasiria+ wakaanza kukimbia,+ na Israeli wakawafuatilia, lakini Ben-hadadi mfalme wa Siria akakimbia akiwa juu ya farasi pamoja na wapanda-farasi. Ayubu 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwamba katika siku ya msiba mwovu huachwa,+Katika siku ya ghadhabu yeye hukombolewa?
20 Nao wakaanza kumpiga na kumuua kila mmoja mtu wake; na Wasiria+ wakaanza kukimbia,+ na Israeli wakawafuatilia, lakini Ben-hadadi mfalme wa Siria akakimbia akiwa juu ya farasi pamoja na wapanda-farasi.