8 Basi wakamwendea Gedalia kule Mispa, Ishmaeli+ mwana wa Nethania na Yohanani+ na Yonathani, wana wa Karea, na Seraya mwana wa Tanhumethi na wana wa Efai Mnetofa+ na Yezania+ mwana wa yule Mmaakathi,+ wao pamoja na watu wao.+
11 Baadaye Yohanani+ mwana wa Karea na wakuu wote wa majeshi+ waliokuwa pamoja naye wakasikia ubaya wote ambao Ishmaeli mwana wa Nethania alikuwa ametenda.