17 “Nawe unapaswa kufunga mshipi viunoni mwako,+ na kusimama na kuwaambia kila jambo ambalo mimi ninakuamuru. Usiwe na hofu yoyote kwa sababu yao,+ ili mimi nisikutie hofu mbele yao.
8 Basi ikawa kwamba Yeremia alipokuwa amemaliza kusema yote ambayo Yehova alimwamuru kuwaambia watu wote, ndipo makuhani na manabii na watu wote wakamkamata, wakisema: “Hakika utakufa.+
5 Nao wakamwambia Yeremia: “Yehova na awe shahidi wa kweli na mwaminifu juu yetu+ ikiwa hatutafanya sawasawa kulingana na kila neno ambalo Yehova Mungu wako atakutuma kwetu.+