30 Mwishowe Yehu akafika Yezreeli,+ na Yezebeli+ akasikia habari hizo. Naye akapaka macho yake wanja+ na kukipamba kichwa chake,+ akatazama chini kupitia dirishani.+
40 Tena, walipoanza kuwaita wanaume kutoka mbali, ambao walitumiwa mjumbe,+ kisha, tazama! wao wakaja,+ kwa ajili ya yule ambaye ulikuwa umejiosha+ kwa ajili yake, ukapaka rangi macho+ yako na kujipamba kwa mapambo.+
4 Na mwanamke yule alikuwa amevikwa nguo za rangi ya zambarau+ na nyekundu,+ naye alikuwa amepambwa dhahabu na jiwe la thamani na lulu+ na mkononi mwake alikuwa na kikombe cha dhahabu+ kilichojaa machukizo+ na mambo machafu ya uasherati wake.+