13 Nawe ukaendelea kujipamba kwa dhahabu na fedha, nayo mavazi yako yalikuwa kitani bora na kitambaa cha bei na vazi lililopambwa.+ Chakula chako kilikuwa unga laini na asali na mafuta,+ nawe ukawa mrembo, mrembo sana, na mwishowe ukastahili kwa ajili ya cheo cha kifalme.’ ”+