Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Panda mpaka Lebanoni+ na upaaze kilio, na juu ya Bashani+ upaaze sauti yako. Na ulie kutoka Abarimu,+ kwa sababu wale wote wanaokupenda sana wamevunjwa-vunjwa.+

  • Maombolezo 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yeye hulia sana usiku,+ na machozi yake yako kwenye mashavu

      yake.+

      Hana yeyote wa kumfariji kati ya wapenzi wake wote.+

      Wenzake wote wamemtendea kwa hila.+ Wamekuwa adui kwake.+

  • Ufunuo 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na zile pembe kumi+ ulizoona, na yule mnyama-mwitu,+ hawa watamchukia yule kahaba+ na kumfanya kuwa ukiwa na uchi, nao watakula sehemu zake zenye nyama na kumteketeza kabisa kwa moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki