20 “Panda mpaka Lebanoni+ na upaaze kilio, na juu ya Bashani+ upaaze sauti yako. Na ulie kutoka Abarimu,+ kwa sababu wale wote wanaokupenda sana wamevunjwa-vunjwa.+
16 Na zile pembe kumi+ ulizoona, na yule mnyama-mwitu,+ hawa watamchukia yule kahaba+ na kumfanya kuwa ukiwa na uchi, nao watakula sehemu zake zenye nyama na kumteketeza kabisa kwa moto.+