Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Je, hutamfukuza yule ambaye Kemoshi+ mungu wako anakufanya umfukuze? Na kila mmoja ambaye Yehova Mungu wetu amemfukuza mbele yetu ndiye tutakayemfukuza.+

  • 1 Wafalme 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Sulemani akajenga mahali pa juu+ kwa ajili ya Kemoshi,+ chukizo+ la Moabu juu ya mlima+ uliokuwa mbele+ ya Yerusalemu, na kwa ajili ya Moleki, chukizo la wana wa Amoni.

  • 2 Wafalme 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na mahali pa juu palipokuwa mbele+ ya Yerusalemu, palipokuwa upande wa kuume wa Mlima wa Uharibifu, ambapo Sulemani+ mfalme wa Israeli alijenga kwa ajili ya Ashtorethi+ chukizo la Wasidoni na kwa ajili ya Kemoshi+ chukizo la Moabu na kwa ajili ya Milkomu+ chukizo la wana wa Amoni, mfalme akapafanya pasifae kwa ibada.

  • Yeremia 48:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa sababu tegemeo lako liko katika kazi zako na katika hazina zako, wewe pia utatekwa.+ Na hakika Kemoshi+ ataenda uhamishoni,+ makuhani wake na wakuu wake wakati uleule.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki