Isaya 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na hapo wakaaji wa maeneo yasiyo na maji hakika watalala, na nyumba zao zitajaa bundi-tai.+ Na hapo mbuni watakaa, na roho waovu wenye umbo la mbuzi watarukaruka hapo.+ Isaya 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na lile jiji lenye ngome, pamoja na kuta zako ndefu za usalama, atalilaza chini; atalishusha, ataliangusha chini kwenye dunia, kwenye mavumbi.+
21 Na hapo wakaaji wa maeneo yasiyo na maji hakika watalala, na nyumba zao zitajaa bundi-tai.+ Na hapo mbuni watakaa, na roho waovu wenye umbo la mbuzi watarukaruka hapo.+
12 Na lile jiji lenye ngome, pamoja na kuta zako ndefu za usalama, atalilaza chini; atalishusha, ataliangusha chini kwenye dunia, kwenye mavumbi.+