Isaya 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kila mtu atakayepatikana atachomwa kwa silaha, na kila mtu atakayekamatwa katika mfagio huo ataanguka kwa upanga;+ Danieli 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme Mkaldayo akauawa,+
15 Kila mtu atakayepatikana atachomwa kwa silaha, na kila mtu atakayekamatwa katika mfagio huo ataanguka kwa upanga;+