Zaburi 69:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+ Isaya 51:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hayo mambo mawili yalikuwa yakikuangukia.+ Ni nani atakayekusikitikia?+ Uporaji na mvunjiko, na njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji wewe?+ Maombolezo 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, haimaanishi chochote kwenu nyote mnaopita njiani? Tazameni, mwone.+Je, kuna uchungu wowote ulio kama uchungu wangu ambao nimetendewa vikali,+Ambao Yehova ametumia kuleta huzuni katika siku ya hasira yake inayowaka?+
20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+
19 Hayo mambo mawili yalikuwa yakikuangukia.+ Ni nani atakayekusikitikia?+ Uporaji na mvunjiko, na njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji wewe?+
12 Je, haimaanishi chochote kwenu nyote mnaopita njiani? Tazameni, mwone.+Je, kuna uchungu wowote ulio kama uchungu wangu ambao nimetendewa vikali,+Ambao Yehova ametumia kuleta huzuni katika siku ya hasira yake inayowaka?+