Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 69:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+

      Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+

      Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+

  • Isaya 51:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hayo mambo mawili yalikuwa yakikuangukia.+ Ni nani atakayekusikitikia?+ Uporaji na mvunjiko, na njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji wewe?+

  • Maombolezo 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, haimaanishi chochote kwenu nyote mnaopita njiani? Tazameni, mwone.+

      Je, kuna uchungu wowote ulio kama uchungu wangu ambao nimetendewa vikali,+

      Ambao Yehova ametumia kuleta huzuni katika siku ya hasira yake inayowaka?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki