2 Wafalme 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+ Ezekieli 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na moto ukatoka katika fimbo yake.+ Ukateketeza machipukizi yake, matunda yake, na ndani yake akawa hana fimbo yoyote yenye nguvu, fimbo yoyote ya enzi ya kutawalia.+ “ ‘Huo ni wimbo wa huzuni, nao utakuwa wimbo wa huzuni.’ ”+
7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+
14 Na moto ukatoka katika fimbo yake.+ Ukateketeza machipukizi yake, matunda yake, na ndani yake akawa hana fimbo yoyote yenye nguvu, fimbo yoyote ya enzi ya kutawalia.+ “ ‘Huo ni wimbo wa huzuni, nao utakuwa wimbo wa huzuni.’ ”+