2 Mambo ya Nyakati 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli. Ezekieli 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tena, alichukua mmoja wa uzao wa kifalme,+ akafanya agano naye na kumwingiza katika kiapo;+ na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawachukua,+
13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.
13 Tena, alichukua mmoja wa uzao wa kifalme,+ akafanya agano naye na kumwingiza katika kiapo;+ na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawachukua,+