Zaburi 68:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama vile moshi unavyofukuziwa mbali, na uwafukuzie mbali vivyo hivyo;+Kama vile nta inavyoyeyuka kwa sababu ya moto,+Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+ Zaburi 112:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+
2 Kama vile moshi unavyofukuziwa mbali, na uwafukuzie mbali vivyo hivyo;+Kama vile nta inavyoyeyuka kwa sababu ya moto,+Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+
10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+