Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu. Ezekieli 23:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa maana wamefanya uzinzi+ na damu imo mikononi mwao,+ nao wamefanya uzinzi na sanamu zao za mavi.+ Na, mbali na hayo, waliwafanya wana wao waliokuwa wamenizalia wapite motoni kama chakula kwao.+
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.
37 Kwa maana wamefanya uzinzi+ na damu imo mikononi mwao,+ nao wamefanya uzinzi na sanamu zao za mavi.+ Na, mbali na hayo, waliwafanya wana wao waliokuwa wamenizalia wapite motoni kama chakula kwao.+