6 Basi nikamshika suria wangu, nikamkatakata vipande na kumpeleka katika kila shamba la urithi wa Israeli,+ kwa sababu walikuwa wametenda mwenendo mpotovu+ na upumbavu wenye kufedhehesha katika Israeli.+
9 Wachongezi wanaofanya hivyo waziwazi wamo ndani yako, kwa kusudi la kumwaga damu;+ nao wamekula juu ya milima ndani yako.+ Wameendeleza mwenendo mpotovu ndani yako.+