Yeremia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+ Yeremia 6:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mivukuto+ imeunguzwa. Risasi inatoka ndani ya moto wao.+ Mtu ameendelea kusafisha sana kwa ubatili tu, na wale wabaya hawakutengwa.+
3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+
29 Mivukuto+ imeunguzwa. Risasi inatoka ndani ya moto wao.+ Mtu ameendelea kusafisha sana kwa ubatili tu, na wale wabaya hawakutengwa.+