Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nami nikasema na watu asubuhi, naye mke wangu mwishowe akafa jioni. Kwa hiyo nilifanya asubuhi vile ambavyo nilikuwa nimeamriwa.

  • Ezekieli 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ‘Iambie nyumba ya Israeli: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, mimi ninapatia unajisi patakatifu pangu,+ fahari ya nguvu zenu,+ kitu chenye kutamanika machoni penu+ na kitu ambacho nafsi yenu hukihurumia, nao wana wenu na binti zenu ambao mmewaacha nyuma—wataanguka kwa upanga.+

  • Hosea 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Na itakuwa kwa watu kama vile itakavyokuwa kwa kuhani;+ nami hakika nitawatoza hesabu kwa sababu ya njia zao;+ nami nitarudisha matendo yao juu yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki