31 “Tazama! Mimi niko dhidi yako,+ Ee Kimbelembele,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, “kwa maana siku yako lazima itakuja, wakati ambapo nitakukazia fikira.
17 “ ‘ “Moyo wako ulikuwa na majivuno kwa sababu ya urembo wako.+ Uliiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako inayong’aa.+ Nitakutupa chini.+ Nitakuweka mbele ya wafalme, ili wakutazame.+
30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+