Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 50:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Tazama! Mimi niko dhidi yako,+ Ee Kimbelembele,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, “kwa maana siku yako lazima itakuja, wakati ambapo nitakukazia fikira.

  • Ezekieli 28:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “ ‘ “Moyo wako ulikuwa na majivuno kwa sababu ya urembo wako.+ Uliiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako inayong’aa.+ Nitakutupa chini.+ Nitakuweka mbele ya wafalme, ili wakutazame.+

  • Danieli 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki