Maombolezo 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu,+ mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+Yule ambaye tumesema habari zake: “Tutaishi chini ya kivuli+ chake kati ya mataifa.”+ Ezekieli 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Yehova amesema hivi, ‘Wanaounga mkono Misri lazima waanguke pia, na fahari ya nguvu zake lazima ishuke chini.’+ “ ‘Kutoka Migdoli+ mpaka Sewene+ wataanguka ndani yake kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Ezekieli 32:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “ ‘Hao ndio atakaowaona Farao, naye atafarijiwa juu ya umati wake wote.+ Farao na jeshi lake lote watakuwa watu waliouawa kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu,+ mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+Yule ambaye tumesema habari zake: “Tutaishi chini ya kivuli+ chake kati ya mataifa.”+
6 “Yehova amesema hivi, ‘Wanaounga mkono Misri lazima waanguke pia, na fahari ya nguvu zake lazima ishuke chini.’+ “ ‘Kutoka Migdoli+ mpaka Sewene+ wataanguka ndani yake kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
31 “ ‘Hao ndio atakaowaona Farao, naye atafarijiwa juu ya umati wake wote.+ Farao na jeshi lake lote watakuwa watu waliouawa kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.