Isaya 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yehova ana hasira juu ya mataifa yote,+ na ghadhabu juu ya jeshi lao lote.+ Yeye atawaangamiza; atawatoa wauawe.+ Yeremia 25:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+
2 Kwa maana Yehova ana hasira juu ya mataifa yote,+ na ghadhabu juu ya jeshi lao lote.+ Yeye atawaangamiza; atawatoa wauawe.+
33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+