23 Hawatafanya kazi ya bure,+ wala hawatazaa kwa ajili ya kupata usumbufu;+ kwa sababu wao ni uzao wa watu wa Yehova waliobarikiwa,+ na wazao wao pamoja nao.+
7 Nami nitawapepeta kwa uma+ katika malango ya nchi. Hakika mimi nitawaua watoto wao.+ Nitawaangamiza watu wangu, kwa kuwa hawajageuka kuziacha njia zao.+