Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 20:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “Mwana wa binadamu, elekeza uso+ wako upande wa eneo la kusini na udondoshe+ maneno kuelekea kusini, na utoe unabii kwa msitu wa uwanja wa kusini.

  • Ezekieli 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Yerusalemu na udondoshe+ maneno kuelekea mahali patakatifu,+ na kutoa unabii juu ya udongo wa Israeli.+

  • Ezekieli 33:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nami kwa kweli nitaifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa,+ naam, ukiwa, na fahari ya nguvu zake itakomeshwa+ na milima ya Israeli itafanywa ukiwa,+ pasipo mtu anayepita katikati.

  • Ezekieli 36:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, toa unabii juu ya milima ya Israeli, nawe utasema, ‘Ee milima ya Israeli,+ lisikieni neno la Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki