Ezekieli 20:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “Mwana wa binadamu, elekeza uso+ wako upande wa eneo la kusini na udondoshe+ maneno kuelekea kusini, na utoe unabii kwa msitu wa uwanja wa kusini. Ezekieli 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Yerusalemu na udondoshe+ maneno kuelekea mahali patakatifu,+ na kutoa unabii juu ya udongo wa Israeli.+ Ezekieli 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nami kwa kweli nitaifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa,+ naam, ukiwa, na fahari ya nguvu zake itakomeshwa+ na milima ya Israeli itafanywa ukiwa,+ pasipo mtu anayepita katikati. Ezekieli 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, toa unabii juu ya milima ya Israeli, nawe utasema, ‘Ee milima ya Israeli,+ lisikieni neno la Yehova.
46 “Mwana wa binadamu, elekeza uso+ wako upande wa eneo la kusini na udondoshe+ maneno kuelekea kusini, na utoe unabii kwa msitu wa uwanja wa kusini.
2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Yerusalemu na udondoshe+ maneno kuelekea mahali patakatifu,+ na kutoa unabii juu ya udongo wa Israeli.+
28 Nami kwa kweli nitaifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa,+ naam, ukiwa, na fahari ya nguvu zake itakomeshwa+ na milima ya Israeli itafanywa ukiwa,+ pasipo mtu anayepita katikati.
36 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, toa unabii juu ya milima ya Israeli, nawe utasema, ‘Ee milima ya Israeli,+ lisikieni neno la Yehova.