Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Farao hatawasikiliza ninyi;+ nami nitalazimika kuuweka mkono wangu juu ya Misri na kuleta majeshi yangu,+ watu wangu,+ wana wa Israeli,+ kutoka katika nchi ya Misri kwa hukumu kubwa.+

  • Kutoka 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi makuhani wenye kufanya uchawi wakamwambia Farao: “Ni kidole+ cha Mungu!”+ Lakini moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.

  • 1 Samweli 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na watu wa Ashdodi wakaona kwamba iko hivyo, ndipo wakasema: “Msiache sanduku la Mungu wa Israeli likae pamoja nasi, kwa sababu mkono wake umekuwa mzito juu yetu na juu ya Dagoni mungu wetu.”+

  • 1 Samweli 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nanyi mnapaswa kutazama: likipanda barabara inayoelekea kwenye eneo lake, kuelekea Beth-shemeshi,+ basi yeye ndiye ametutendea huu uovu mkubwa; lakini kama sivyo, tutajua kwamba haukuwa mkono wake uliotugusa; bali ni msiba+ tu uliotuangukia.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki