3 Nao watashika wajibu wao kwako na wajibu wao kwa hema lote.+ Ila wasikaribie vyombo vya mahali patakatifu na madhabahu wasije wakafa,+ wao wala ninyi.
9 Makuhani+ wa mahali pa juu tu ndio hawakupanda mpaka kwenye madhabahu ya Yehova katika Yerusalemu, lakini walikula keki zisizo na chachu+ katikati ya ndugu zao.