9 Na kile kinachohitajiwa, ng’ombe-dume wachanga+ pamoja na kondoo-dume+ na wana-kondoo+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa kwa Mungu wa mbinguni, ngano,+ chumvi,+ divai+ na mafuta,+ kama vile wanavyosema makuhani walioko Yerusalemu, wapewe vitu hivyo kwa kuendelea siku kwa siku bila kukosa;