Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Wape wana wa Israeli amri ya kwamba lazima wawape Walawi majiji+ wakae humo kutoka katika urithi wa miliki yao, nao watawapa Walawi kiwanja cha malisho cha majiji kuzunguka pande zote.+

  • Yoshua 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi wana wa Israeli wakawapa Walawi,+ kwa agizo la Yehova, majiji hayo na viwanja vyake vya malisho kutoka katika urithi wao.+

  • Ezekieli 45:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Litakuwa fungu takatifu kutoka katika nchi kwa ajili ya makuhani wenyewe,+ wahudumu wa patakatifu, wale wanaokaribia ili kumhudumia Yehova.+ Na hapo patakuwa mahali pa nyumba kwa ajili yao, na mahali patakatifu kwa ajili ya patakatifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki