2 “Wape wana wa Israeli amri ya kwamba lazima wawape Walawi majiji+ wakae humo kutoka katika urithi wa miliki yao, nao watawapa Walawi kiwanja cha malisho cha majiji kuzunguka pande zote.+
4 Litakuwa fungu takatifu kutoka katika nchi kwa ajili ya makuhani wenyewe,+ wahudumu wa patakatifu, wale wanaokaribia ili kumhudumia Yehova.+ Na hapo patakuwa mahali pa nyumba kwa ajili yao, na mahali patakatifu kwa ajili ya patakatifu.