Hosea 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Moyo wao umekuwa na unafiki;+ sasa watapatikana na hatia. “Kuna yule atakayevunja madhabahu zao; atapora nguzo zao.+ Zekaria 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nayo mioyo yao+ wakaifanya kuwa kama jiwe gumu ili isitii sheria+ na maneno ambayo Yehova wa majeshi alipeleka kwa roho yake,+ kupitia manabii wa kale;+ hata Yehova wa majeshi akakasirika sana.”+ Waebrania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usije ukasitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+
2 Moyo wao umekuwa na unafiki;+ sasa watapatikana na hatia. “Kuna yule atakayevunja madhabahu zao; atapora nguzo zao.+
12 Nayo mioyo yao+ wakaifanya kuwa kama jiwe gumu ili isitii sheria+ na maneno ambayo Yehova wa majeshi alipeleka kwa roho yake,+ kupitia manabii wa kale;+ hata Yehova wa majeshi akakasirika sana.”+
12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usije ukasitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+