Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi akamwendea kando ya barabara akamwambia: “Tafadhali, niruhusu nilale nawe.”+ Kwa kuwa hakujua kwamba alikuwa binti-mkwe wake.+ Hata hivyo, akasema: “Utanipa nini ili ulale nami?”+

  • Kumbukumbu la Torati 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Usilete malipo+ ya kahaba au bei ya mbwa+ ndani ya nyumba ya Yehova Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu hao ni chukizo kwa Yehova Mungu wako, naam, wote wawili.

  • Hosea 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitaufanya kuwa ukiwa mzabibu+ wake na mtini+ wake, ambao amesema hivi kuuhusu: “Hizo ni zawadi zangu nilizopewa, ambazo wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi wamenipa”; nami nitazifanya kuwa msitu,+ na mnyama wa mwituni atazila.

  • Luka 15:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Lakini mara tu alipofika huyu mwana wako+ aliyekula pamoja na makahaba+ mali yako, ulimchinjia ng’ombe-dume mchanga aliyenoneshwa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki