16 Basi akamwendea kando ya barabara akamwambia: “Tafadhali, niruhusu nilale nawe.”+ Kwa kuwa hakujua kwamba alikuwa binti-mkwe wake.+ Hata hivyo, akasema: “Utanipa nini ili ulale nami?”+
18 Usilete malipo+ ya kahaba au bei ya mbwa+ ndani ya nyumba ya Yehova Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu hao ni chukizo kwa Yehova Mungu wako, naam, wote wawili.
12 Nami nitaufanya kuwa ukiwa mzabibu+ wake na mtini+ wake, ambao amesema hivi kuuhusu: “Hizo ni zawadi zangu nilizopewa, ambazo wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi wamenipa”; nami nitazifanya kuwa msitu,+ na mnyama wa mwituni atazila.