Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lo! Jinsi mji mwaminifu+ umekuwa kahaba!+ Ulikuwa umejaa haki;+ uadilifu ulikuwa ukikaa ndani yake,+ lakini sasa ni wauaji.+

  • Yeremia 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Yehova akaniambia katika siku za mfalme Yosia:+ “‘Je, umeona lile ambalo Israeli asiye mwaminifu amefanya?+ Anaenda juu ya kila mlima mrefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi,+ ili afanye ukahaba huko.+

  • Hosea 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana mama yao amefanya uasherati.+ Yeye mwenye kuwachukua mimba ametenda kwa njia ya aibu,+ kwa maana amesema, ‘Nataka kuwafuata wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi,+ wale wanaonipa mkate na maji, sufu na kitani, mafuta na kinywaji.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki