16 Na Yehova anasema: “Kwa sababu binti za Sayuni wamekuwa na majivuno, nao wanatembea shingo zao zikiwa zimenyooshwa na kutupa macho yao kwa kutamani, wanatembea kwa hatua fupifupi, na kwa miguu yao wanatoa milio ya kengele,+
5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+