Yeremia 37:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia+ akaanza kutawala mahali pa Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimfanya kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+ Ezekieli 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tena, alichukua mmoja wa uzao wa kifalme,+ akafanya agano naye na kumwingiza katika kiapo;+ na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawachukua,+
37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia+ akaanza kutawala mahali pa Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimfanya kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+
13 Tena, alichukua mmoja wa uzao wa kifalme,+ akafanya agano naye na kumwingiza katika kiapo;+ na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawachukua,+