Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ili mtu yeyote asiirarue nafsi yangu vipande-vipande kama simba anavyofanya,+

      Kuninyakua wakati ambapo hakuna mkombozi.+

  • Nahumu 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Liko wapi tundu la simba, na pango la wana-simba wenye manyoya shingoni, ambamo simba alitembea na kuingia,+ ambamo mlikuwamo mwana-simba, wala hakuna mtu yeyote aliyekuwa akiwatetemesha?+

  • Sefania 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakuu wake katikati yake walikuwa simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake walikuwa mbwa-mwitu wa jioni ambao hawakutafuna mifupa mpaka asubuhi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki