Zaburi 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ili mtu yeyote asiirarue nafsi yangu vipande-vipande kama simba anavyofanya,+Kuninyakua wakati ambapo hakuna mkombozi.+ Nahumu 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Liko wapi tundu la simba, na pango la wana-simba wenye manyoya shingoni, ambamo simba alitembea na kuingia,+ ambamo mlikuwamo mwana-simba, wala hakuna mtu yeyote aliyekuwa akiwatetemesha?+ Sefania 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakuu wake katikati yake walikuwa simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake walikuwa mbwa-mwitu wa jioni ambao hawakutafuna mifupa mpaka asubuhi.+
2 Ili mtu yeyote asiirarue nafsi yangu vipande-vipande kama simba anavyofanya,+Kuninyakua wakati ambapo hakuna mkombozi.+
11 Liko wapi tundu la simba, na pango la wana-simba wenye manyoya shingoni, ambamo simba alitembea na kuingia,+ ambamo mlikuwamo mwana-simba, wala hakuna mtu yeyote aliyekuwa akiwatetemesha?+
3 Wakuu wake katikati yake walikuwa simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake walikuwa mbwa-mwitu wa jioni ambao hawakutafuna mifupa mpaka asubuhi.+