Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+

  • Methali 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kama simba anayenguruma na dubu anayekimbia ili kushambulia ndivyo alivyo mtu mwovu anayetawala watu wa hali ya chini.+

  • Ezekieli 22:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Katikati yake kuna hila ya manabii wake,+ kama simba anayenguruma, anayerarua mawindo.+ Kwa kweli wanairarua nafsi.+ Wanaendelea kuchukua hazina na vitu vyenye thamani.+ Wamewazidisha wajane wake katikati yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki