17 Na ikawa kwamba wakati Farao alipowaruhusu watu waende zao, Mungu hakuwaongoza kupitia njia ya nchi ya Wafilisti kwa kuwa tu ilikuwa karibu, kwa maana Mungu alisema: “Huenda hao watu watajuta watakapoona vita nao hakika watarudi Misri.”+
22 Baadaye Musa akaondoa Israeli kutoka katika Bahari Nyekundu nao wakaenda katika nyika ya Shuri+ na kupiga mwendo kwa siku tatu nyikani, lakini hawakupata maji.+