7 Naye ofisa mkuu wa makao ya mfalme akawapa majina.+ Basi akamwita Danieli jina Belteshaza;+ Hanania akamwita Shadraki; Mishaeli akamwita Meshaki; naye Azaria akamwita Abednego.+
8 Mwishowe Danieli akaingia mbele yangu, ambaye jina lake ni Belteshaza+ kulingana na jina la mungu wangu+ na ambaye ndani yake mna roho ya miungu mitakatifu;+ nami nikasema mbele yake ndoto ile: