Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 8:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na kulingana na ufahamu wake atafanya udanganyifu ufanikiwe mkononi mwake.+ Na atajivuna sana moyoni mwake,+ naye atawaharibu wengi wakati ambapo hakuna mahangaiko.+ Na atasimama kumpinga Mkuu wa wakuu,+ lakini atavunjwa pasipo kutumia mkono.+

  • Ufunuo 19:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na yule mnyama-mwitu+ akakamatwa, na yule nabii wa uwongo+ pamoja naye, aliyefanya mbele yake ishara+ alizotumia kuwapotosha wale waliopokea alama+ ya yule mnyama-mwitu na wale wanaoitolea sanamu+ yake ibada. Wakiwa bado hai, wote wawili walitupwa ndani ya ziwa la moto linalowaka kwa kiberiti.+

  • Ufunuo 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Ibilisi+ aliyekuwa akiwapotosha alitupwa ndani ya lile ziwa la moto na kiberiti, ambamo wote wawili, yule mnyama-mwitu+ na yule nabii wa uwongo, tayari walikuwa;+ nao watateswa mchana na usiku milele na milele.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki