Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Methali 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote+ wala usitegemee uelewaji wako mwenyewe.+ Mathayo 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tena kwa kweli ninawaambia ninyi, Wawili kati yenu wakikubaliana duniani kuhusu jambo lolote lenye maana ambalo wanapaswa kuomba, litatendeka kwao kwa sababu ya Baba yangu aliye mbinguni.+
19 Tena kwa kweli ninawaambia ninyi, Wawili kati yenu wakikubaliana duniani kuhusu jambo lolote lenye maana ambalo wanapaswa kuomba, litatendeka kwao kwa sababu ya Baba yangu aliye mbinguni.+