1 Mambo ya Nyakati 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yuda+ alikuwa mkuu kati ya ndugu zake, na kiongozi alitoka kwake;+ lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu+ — Isaya 55:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Nimemtoa+ kuwa shahidi+ kwa vikundi vya mataifa,+ kuwa kiongozi+ na kamanda+ kwa vikundi vya mataifa. Danieli 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na kuhusu mikono ya mafuriko,+ itapatwa na mafuriko kwa sababu yake, nayo itavunjwa;+ kama itakavyokuwa pia+ kwa Kiongozi+ wa agano.+ Mathayo 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala msiitwe ‘viongozi,’+ kwa maana Kiongozi wenu ni mmoja, Kristo. Yohana 1:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nathanaeli akamjibu: “Rabi, wewe ndiye Mwana wa Mungu,+ wewe ndiye Mfalme+ wa Israeli.”
2 Kwa maana Yuda+ alikuwa mkuu kati ya ndugu zake, na kiongozi alitoka kwake;+ lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu+ —
4 Tazama! Nimemtoa+ kuwa shahidi+ kwa vikundi vya mataifa,+ kuwa kiongozi+ na kamanda+ kwa vikundi vya mataifa.
22 Na kuhusu mikono ya mafuriko,+ itapatwa na mafuriko kwa sababu yake, nayo itavunjwa;+ kama itakavyokuwa pia+ kwa Kiongozi+ wa agano.+