Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana Yuda+ alikuwa mkuu kati ya ndugu zake, na kiongozi alitoka kwake;+ lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu+ —

  • Isaya 55:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Nimemtoa+ kuwa shahidi+ kwa vikundi vya mataifa,+ kuwa kiongozi+ na kamanda+ kwa vikundi vya mataifa.

  • Danieli 11:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na kuhusu mikono ya mafuriko,+ itapatwa na mafuriko kwa sababu yake, nayo itavunjwa;+ kama itakavyokuwa pia+ kwa Kiongozi+ wa agano.+

  • Mathayo 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wala msiitwe ‘viongozi,’+ kwa maana Kiongozi wenu ni mmoja, Kristo.

  • Yohana 1:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Nathanaeli akamjibu: “Rabi, wewe ndiye Mwana wa Mungu,+ wewe ndiye Mfalme+ wa Israeli.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki