12 Watu wangu mwenyewe wanaendelea kuuliza habari+ kutoka kwa sanamu yao ya mti,+ na fimbo yao ya mkononi huwaambia; kwa maana roho ya uasherati imewafanya watange-tange,+ nao kwa uasherati hutoka chini ya Mungu wao.+
7 Wanatamani sana mavumbi ya dunia yaliyo kwenye vichwa vya watu wa hali ya chini;+ nao huipotosha njia ya watu wapole;+ na mwanamume na baba yake wamemwendea msichana yuleyule,+ kwa kusudi la kulitia unajisi jina langu takatifu.+
2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+