16 Nao wakaendelea kuacha amri+ zote za Yehova, Mungu wao, wakajitengenezea sanamu za kuyeyushwa,+ ndama wawili,+ na kutengeneza mti mtakatifu,+ nao wakaanza kuliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kutumikia Baali;+
2 “Waliwaita.+ Kwa kadiri hiyohiyo walienda mbali kutoka mbele yao.+ Wakaanza kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali,+ nao wakaanza kufukiza moshi wa dhabihu kwa sanamu za kuchongwa.+