3 Naye hakika atafanya hukumu kati ya vikundi vingi vya watu,+ na kunyoosha mambo+ kuhusu mataifa yenye nguvu yaliyo mbali.+ Nao watafua panga zao ziwe majembe na mikuki yao iwe miundu.+ Hawatainua upanga, taifa juu ya taifa, wala hawatajifunza vita tena.+