2“‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.
14 Ni nani anayejua ikiwa yeye hatageuka na kujuta+ na baada ya hayo abakize baraka,+ toleo la nafaka na toleo la kinywaji kwa ajili ya Yehova Mungu wenu?