Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na kushangilia na shangwe zimeondolewa katika shamba la matunda; na hakuna vigelegele vya shangwe katika mashamba ya mizabibu, hakuna sauti inayopaazwa.+ Mwenye kukanyaga hakanyagi divai yoyote itoke katika mashinikizo.+ Nimekomesha kupaaza sauti.+

  • Yeremia 48:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na kushangilia na shangwe zimeondolewa katika shamba la matunda na katika nchi ya Moabu.+ Nami nimeikomesha divai kutoka katika mashinikizo ya divai.+ Hakuna yeyote atakayezikanyaga kwa kupaaza sauti. Huko kupaaza sauti hakutakuwa kupaaza sauti.’”+

  • Hosea 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Uwanja wa kupuria na shinikizo la divai haviwalishi wao,+ nayo divai tamu inamkatisha tamaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki