14 Na sasa Yehova amesema hivi: “Katika muda wa miaka mitatu, kulingana na miaka ya mfanyakazi wa kukodiwa,+ utukufu+ wa Moabu utafedheheshwa pia kwa fujo nyingi za kila aina, na wale watakaobaki watakuwa wachache mno, wasio na nguvu.”+
7 Kwa sababu tegemeo lako liko katika kazi zako na katika hazina zako, wewe pia utatekwa.+ Na hakika Kemoshi+ ataenda uhamishoni,+ makuhani wake na wakuu wake wakati uleule.+